|
|
|||
|
||||
Overview""Je, vurugu za tarehe 29 Oktoba 2025 zilikuwa ni sauti ya wanyonge au operesheni ya kijasusi iliyopangwa?"" Katika kitabu cha """"Mtego wa Kafara,"""" mwandishi Sado Faraji anavua kinyago cha kile kilichodhaniwa kuwa maandamano ya kawaida ya vijana. Hiki ni kitabu kinachochimba chini ya uso wa habari, kikifichua mtandao mpana wa hujuma za kimataifa zilizolenga kuisambaratisha Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kupitia uchambuzi wa kina wa kiuchumi, kijasusi, na kiteknolojia, kitabu hiki kinaweka hadharani: ""Vita vya Kidijitali (Cyber Warfare): "" Jinsi teknolojia, 'bots', na algorithms zilivyotumiwa kuchezea akili za vijana (Gen Z) na kuwafanya wawachukie walinzi wa nchi yao wenyewe kupitia mfumo wa '67% Disinformation'. ""Siri ya Madini na Ndege za F-35: "" Uhusiano wa kutisha kati ya machafuko ya kisiasa na vita ya kuwania madini ya Rare Earths kule Ngualla-rasilimali muhimu kwa majeshi ya Magharibi. ""Mtego wa Starlink: "" Ukweli kuhusu jaribio la kuingiza intaneti ya setilaiti kama 'njia ya nyuma' (backdoor) ya mawasiliano ya kijasusi ili kukwepa udhibiti wa serikali. ""Gharama ya Uasi: "" Takwimu zilizothibitishwa na Benki Kuu ya Tanzania zinazoonyesha hasara ya Trilioni 1.02 iliyopatikana kutokana na kuharibiwa kwa ofisi 756 za serikali na vituo vya polisi. Huu si mkusanyiko wa matukio ya kihistoria tu; ni """"miwani ya kijasusi"""" kwa kila mzalendo. ""Mtego wa Kafara"" ni onyo na fundisho kuhusu mbinu mpya za Regime Change zinazotumia simu za mkononi badala ya vifaru. Soma kitabu hiki ili uelewe jinsi ya kuilinda akili yako na nchi yako kabla haujageuzwa kuwa kafara wa maslahi ya mataifa ya nje. Full Product DetailsAuthor: Sado FarajiPublisher: Sado Faraji Imprint: Sado Faraji Volume: 2 Dimensions: Width: 12.70cm , Height: 1.00cm , Length: 20.30cm Weight: 0.172kg ISBN: 9798232767532Pages: 170 Publication Date: 01 February 2026 Audience: General/trade , General Format: Paperback Publisher's Status: Active Availability: Available To Order We have confirmation that this item is in stock with the supplier. It will be ordered in for you and dispatched immediately. Table of ContentsReviewsAuthor InformationAbout the Author SADO FARAJI is a visionary writer and researcher from Dar es Salaam, Tanzania. His work fuses history, faith, and storytelling-bridging Islamic scholarship, cultural critique, and mythic fiction. Through novels, drama series, and scholarly works, he explores the clash of tradition and modernity, betrayal and loyalty, love and survival. His writing is ritualized-crafted to echo across generations and provoke reflection on humanity's shared destiny. Selected Works - The Djinn Prince's Pact - A Romantasy of Legacy and Whispers. - The Bridge of hope and sorrow: a Poignant tale of love and resilience.- The Spirit of Resistance: The Defiance Legacy of Mkwawa. - Shadows of the Desert: The Role of Zionism in the Birth of Saudi Arabia. - The Ink Between - When the erased refused to be silent. - The Indelible Archive - a novel of memory and Resistance - Scholarly works in Islamic history and fiqh. Vision For SADO FARAJI, every book is more than a story-it is a legacy drop, a ritual of influence, and a call to heal broken worlds. Readers are invited into a journey of myth, memory, and meaning. Tab Content 6Author Website:Countries AvailableAll regions |
||||