|
![]() |
|||
|
||||
OverviewKatika kipindi ambacho tunaangalia mipango mipya na mbinu ya kudumisha masilahi na kusababisha makanisa yetu yakue, ni rahisi kukosa urahisi wa kile Mungu anawaambia watu wake katika vifungu hivi. Afya ya makanisa yetu na uzima wa kiroho hautegemei juu ya mbinu na mipango mipya, lakini katika kuangalia nyuma kwenye mafundisho rahisi ya neno la Mungu. 2 Nyakati 7:13-14 ni funguo katika afya ya kiroho na kuzaa matunda. Katika vifungu hivi vimeegemea katika majibu ya Mungu kwa maombi ya Sulemani kwa msamaha na kufanya upya baraka kwa watu wake. Katika jibu la maombi ya Sulemani, Mungu alishirikisha mahitaji yake kwa huo msamaha na uponyaji uchukue nafasi. Kusudi la Mungu halikubadilika. Ikiwa unataka kufahamu nini Mungu anahitaji kwa burudisho na kufanywa upya katika maisha yako ya kiroho, hivi vifungu viwili ni ufunguo. Full Product DetailsAuthor: F Wayne Mac LeodPublisher: Light to My Path Book Distribution Imprint: Light to My Path Book Distribution Dimensions: Width: 14.00cm , Height: 0.40cm , Length: 21.60cm Weight: 0.104kg ISBN: 9781927998427ISBN 10: 1927998425 Pages: 82 Publication Date: 12 September 2024 Audience: General/trade , General Format: Paperback Publisher's Status: Active Availability: In Print ![]() This item will be ordered in for you from one of our suppliers. Upon receipt, we will promptly dispatch it out to you. For in store availability, please contact us. Table of ContentsReviewsAuthor InformationF. Wayne Mac Leod was born in Sydney Mines, Nova Scotia, Canada and received his eduction at Ontario Bible College, University of Waterloo and Ontario Theological Seminary. He was ordained at Hespeler Baptist Church in Cambridge, Ontario in 1991. He and his wife served as missionaries on the islands of Mauritius and Reunion from 1985-1993 where Wayne was engaged in church development and leadership training. Wayne is currently a full time missionary serving with Action International Ministries. Tab Content 6Author Website:Countries AvailableAll regions |